Mimi pia aiseeHabari za jioni.
Nna uhitaji wa huduma ya kupata internet unlimited ambayo ntakuwa nalipia gharama fixed kwa mwezi.
Nimechoshwa na vifurushi vya mitandao yetu
Unaishi wapi?Habari za jioni.
Nna uhitaji wa huduma ya kupata internet unlimited ambayo ntakuwa nalipia gharama fixed kwa mwezi.
Nimechoshwa na vifurushi vya mitandao yetu
Unaishi wapi?
Una maanisha nini? Yaani utumie internet bila kulipia?Ingia google jifunze jinsi ya kupata internet free
Dar kuna maeneo ndio yana hizo huduma kama vile Masaki, Oysterbay, Upanga, Posta, Kinondoni thats why nikamuuliza anaishi wapi?Jibu lake lazima aseme aliko?
Mimi nahitaji pia niko Dar
Mimi pia ninakerwa na mwenendo wa vifurushi, sema hii huduma ya unlimited ndio huwa sielewi. Naiona kwenye orodha ya vifurushi vya mtandao wa smile lakini sijahoji inakuwaje hiyo. Msaada tafadhaliHabari za jioni.
Nna uhitaji wa huduma ya kupata internet unlimited ambayo ntakuwa nalipia gharama fixed kwa mwezi.
Nimechoshwa na vifurushi vya mitandao yetu
Ndio unaweza kutumia free internet .... Bila kulipia ...Una maanisha nini? Yaani utumie internet bila kulipia?
Elimu ni bahari
SinzaUnaishi wapi?
Mmh!! Mbona nimechelewa kujua. Maana sina kazi na internet kwangu ni muhimu. Najikuta najibana kwenye mambo mengine ili ninunue vocha kumbe naweza tumia bure. Toa elimu nikomboke mkuu. Ndio unaweza kutumia free internet .... Bila kulipia ...
"za kuambiwa changanya na zako"Mmh!! Mbona nimechelewa kujua. Maana sina kazi na internet kwangu ni muhimu. Najikuta najibana kwenye mambo mengine ili ninunue vocha kumbe naweza tumia bure. Toa elimu nikomboke mkuu
Ndo yale mambo ya kuitwa kwenye fursa kumbe mimi ndio fursa yenyewe?"za kuambiwa changanya na zako"
Ha ha ha usiwasikilize hao. Hakuna vya bure!Mmh!! Mbona nimechelewa kujua. Maana sina kazi na internet kwangu ni muhimu. Najikuta najibana kwenye mambo mengine ili ninunue vocha kumbe naweza tumia bure. Toa elimu nikomboke mkuu