Babaako
Member
- Mar 10, 2016
- 15
- 22
Jamani mwenye msaada wa kuniwezesha kuonana na Rais Magufuli naomba anisaidie. Mimi ni Certified Public Accountant (CPA).
Acha niende moja kwa moja kwenye point. Jana katika harakati za kutafuta wateja nimeshuhudia kodi ya mabilioni inayokwepwa kulipwa kwa njia ya udanganyifu mkubwa ambao hata TRA hawezi kung'amua jinsi hao wafanyabishara wanavyocheza na huo udanganyifu.
Naomba kuonana na Rais Magufuli ili nimuonyeshe jinsi hii inchi inavyochezewa. Kwa yale niliyoyashuhudia, kweli nchi hii tuna safari ndefu kupambana na ukwepaji kodi. Watu wanapiga mabilioni ya fedha halafu bila aibu wanadai kupata hasara na wakati mwingine wanaidai Serikali "tax refund".
Please mwenye kunisaidia kuonana na mheshimiwa Rais Magufuli atakuwa amefanya jambo la kizalendo sana. Naona wengi mnataka nielezee hapa hapa jinsi huo ukwepaji kodi unavyofanyika. Kwanza kwa ethics za taaluma yetu ya uhasibu hatuwezi ku-disclose sensitive issues kama hizo kwenye public.
Pili, kwa kile nilichokishuhudia kinahitaji mtu mwenye mamlaka ya juu kabisa kukisikia. Kwenda kureport fraud kama hii TAKUKURU au TRA nahisi huenda hii taarifa ikawarudia wahusika na rushwa inaweza kutembea hivyo tatizo likawa palepale au ndio kuzidi kabisa.
...Mnaikumbuka ile scandal ya yule jamaa aliyekuwa anatengeneza sijui milion 7 kwa dakika moja? Hii issue kidogo inataka kufanana na hiyo.
Acha niende moja kwa moja kwenye point. Jana katika harakati za kutafuta wateja nimeshuhudia kodi ya mabilioni inayokwepwa kulipwa kwa njia ya udanganyifu mkubwa ambao hata TRA hawezi kung'amua jinsi hao wafanyabishara wanavyocheza na huo udanganyifu.
Naomba kuonana na Rais Magufuli ili nimuonyeshe jinsi hii inchi inavyochezewa. Kwa yale niliyoyashuhudia, kweli nchi hii tuna safari ndefu kupambana na ukwepaji kodi. Watu wanapiga mabilioni ya fedha halafu bila aibu wanadai kupata hasara na wakati mwingine wanaidai Serikali "tax refund".
Please mwenye kunisaidia kuonana na mheshimiwa Rais Magufuli atakuwa amefanya jambo la kizalendo sana. Naona wengi mnataka nielezee hapa hapa jinsi huo ukwepaji kodi unavyofanyika. Kwanza kwa ethics za taaluma yetu ya uhasibu hatuwezi ku-disclose sensitive issues kama hizo kwenye public.
Pili, kwa kile nilichokishuhudia kinahitaji mtu mwenye mamlaka ya juu kabisa kukisikia. Kwenda kureport fraud kama hii TAKUKURU au TRA nahisi huenda hii taarifa ikawarudia wahusika na rushwa inaweza kutembea hivyo tatizo likawa palepale au ndio kuzidi kabisa.
...Mnaikumbuka ile scandal ya yule jamaa aliyekuwa anatengeneza sijui milion 7 kwa dakika moja? Hii issue kidogo inataka kufanana na hiyo.