Nahitaji kununua tambi, karanga za mayai, krips na ubuyu kwa jumla

M2 Makini

Member
Dec 19, 2014
93
33
Habari nataka kununua kwa bei ya jumla tambi za dengu,Karanga za Mayai,ubuyu mzuri(vinto),krips aina zote (viazi,mihogo,ndizi)wapi naweza kupata tafadhari
 
Ukienda sabasaba utazikuta nyingi mabanda ya wakenya wanatoaga demo jinsi ya kutumia hata kariakoo zipo nyingi.bei nazani 20-40 elfu
 
Habari nataka kununua kwa bei ya jumla tambi za dengu,Karanga za Mayai,ubuyu mzuri(vinto),krips aina zote (viazi,mihogo,ndizi)wapi naweza kupata tafadhari
Kuhusu Krips unaweza ukatengeneza mwenyewe mana visu vya kukatia vinauzwa maduka ya utensils
 
Habari nataka kununua kwa bei ya jumla tambi za dengu,Karanga za Mayai,ubuyu mzuri(vinto),krips aina zote (viazi,mihogo,ndizi)wapi naweza kupata tafadhari
Karanga za mayai Bei ya jumla na rejareja zinapatikana kwa mliopo dar es salaam karibu 0659532998
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom