ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Habarini Wadau
Nina hitaji kununua hii simu kutoka kwa Muuzaji yeyote aliyepo Dar, iwe Mpya Kabisaa. Mimi nipo mkoa tofauti na DAR. Lengo hapa nikujua ni Muuzaji gani naweza kumtafuta instagram ambae ni wa kuaminika na simu zake hazina magumashi.
Muuzaji ambae atapendekezwa na wengi bila shaka ndio nitakuwa mteja wake wa leo.
Nina hitaji kununua hii simu kutoka kwa Muuzaji yeyote aliyepo Dar, iwe Mpya Kabisaa. Mimi nipo mkoa tofauti na DAR. Lengo hapa nikujua ni Muuzaji gani naweza kumtafuta instagram ambae ni wa kuaminika na simu zake hazina magumashi.
Muuzaji ambae atapendekezwa na wengi bila shaka ndio nitakuwa mteja wake wa leo.