elias godfrey
Member
- Oct 13, 2012
- 35
- 6
Mimi ni kijana niliemaliza form 4 mwaka jana matokeo ya kwanza nimepata division 0 ila nashukuru mungu matokeo ya pili nimepata division 4 ya 33 chemistry D,maths D nyingine zote F nahitaji kujua kwa matokeo haya naweza nikapata chuo cha kusoma?