Jifunze kuandika vizuri.sorry i didnt force u to read n reply my post! so exc me!
Usijali ndugu karibu sana.SAWA NASHUKURU SANA..
Early September watatoa first round selectionok so hua inachukua mda gan hiyo process...sorr too.many qns!!( i knw nothn)
icho nilikua sijajua apo fresh..!! mzuka lazima uepo siunajua tenaUmeshamaliza kufanya application?? Kwa usahihi??Mwisho wa kufanya application ni lini?? Kama umefanya vizuri mtihani wako wa kidato cha sita na application umefanya kwa ufasaha wew tulia tu kila kitu huwa kinawekwa kwenye tovuti yao cha msingi uwe unaitembelea mara kwa mara............ au mdogo wangu una mzuka sana wa kwenda chuoni?? Yote kwa yote haitazidi mwezi wa kumi utakuwa chuo
Be patient yatatoka tunashukuru sana mana cunajua om kunachosha
Subiri mpaka muda wa kutuma maombi umalizike.Poa haina noma but ujanisaidia bado..ujanijibu
Nime muuliza deadline ya kufanya application ni lini hajanijibu...... ukijua tarehe ya mwisho ya kufanya udahili itakusaidia kubashiri muda wa selection kutokaSubiri mpaka muda wa kutuma maombi umalizike.
Baada ya hapo kutakuwa na chaguzi za wanafunzi kupelekwa vyuo husika walivyoomba(selection).