Blandina Vedastus
Member
- Dec 22, 2020
- 26
- 21
Habari wana Jf,
Ninaomba kujua ni mbolea ipi hasa inayofaa kwa mikoa yote na kwa mazao ya aina yoyote ile. Pia ni misimu gani ya kilimo ambayo inafaa kwa anayetaka kuuza mbolea?
Ahsanteni
Ninaomba kujua ni mbolea ipi hasa inayofaa kwa mikoa yote na kwa mazao ya aina yoyote ile. Pia ni misimu gani ya kilimo ambayo inafaa kwa anayetaka kuuza mbolea?
Ahsanteni