Unaposema bei nafuu ni ipi? maana unaweza kuwa unamaanisha hummer ya bei nafuu inayotumia mafuta 5km/1 liter.
kama unahitaji bei poa ya kitanzania wa kawaida, Suzuki swift inafaa.
Tuwasiliane kwa biashara ya gari hilo lipo tayari Arusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.