Nahitaji kujua magari ya bei nafuu yenye kutumia mafuta kidogo

Kind

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
247
39
Wandugu kwa wanaofahamu
Nahitaji kujua magari ya bei nafuu yenye kutumia mafuta kidogo
 
Wandugu kwa wanaofahamu
Nahitaji kujua magari ya bei nafuu yenye kutumia mafuta kidogo
toyota vitz, toyota fancargo, toyota passo, suzuki kei, suzuki swift, toyota ist.....hzo ni baadhi tu mkuu
 
Unaposema bei nafuu ni ipi? maana unaweza kuwa unamaanisha hummer ya bei nafuu inayotumia mafuta 5km/1 liter.
kama unahitaji bei poa ya kitanzania wa kawaida, Suzuki swift inafaa.
Tuwasiliane kwa biashara ya gari hilo lipo tayari Arusha.
 
Back
Top Bottom