Nahitaji kujua kuhusu kiongozi wangu Dk Slaa

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,771
2,544
Dk Slaa aliachana na mke wake wa awali mama Kamili. Sababu za kuachana ni zipi? Sijawahi kuzisikia wala kumsikia mama Kamili akilalamika. Katoliki wameanza kuruhusu talaka? Huyu FL1 wa sasa Dk si anachakachua? Kuna uhalali katika hili? Ni maswali machache ambayo wengi tungependa kupata majibu yake
 
Nadhani ni vizuri ukamtafuta mwenyewe na kumuuliza maana hayo ni mambo yake ya ndani. Kuishi na mke si jambo jepesi mpaka uwe na kichwa kama cha mwendawazimu. sijui kama umeowa au la . Nakushauli uachane na hiyo hoja na uitoe mara moja kwa maana hatuhitaji kumjadili kiongozi wetu.
 
Dk Slaa aliachana na mke wake wa awali mama Kamili. Sababu za kuachana ni zipi? Sijawahi kuzisikia wala kumsikia mama Kamili akilalamika. Katoliki wameanza kuruhusu talaka? Huyu FL1 wa sasa Dk si anachakachua? Kuna uhalali katika hili? Ni maswali machache ambayo wengi tungependa kupata majibu yake
Mbona mke wako wa awali ninaye mimi na halalamiki.
 
Hayakuhusu we zungumzia uongozi wake ni si mambo yake ya nyumbani ukitaka lete ya kwako tuyajadili
 
Kama Rose kamili mwenyewe hujawahi kusikia akilalamika sasa wewe nini kinakuuma? Mwenye kuolewa na kuachwa halalamiki wewe unataka kujua nini hapo...hayo mambo ya ndani sidhani kama kunaanaye jua hilo
Dk Slaa aliachana na mke wake wa awali mama Kamili. Sababu za kuachana ni zipi? Sijawahi kuzisikia wala kumsikia mama Kamili akilalamika. Katoliki wameanza kuruhusu talaka? Huyu FL1 wa sasa Dk si anachakachua? Kuna uhalali katika hili? Ni maswali machache ambayo wengi tungependa kupata majibu yake
 
Kama Rose kamili mwenyewe hujawahi kusikia akilalamika sasa wewe nini kinakuuma?
Hata mimi nashangaa mwenyewe kakiri hajamsikia Rose akilalamika sasa yeye analalamika kama nani ukisikia umbea ndio huu.
 
Una ukijua itakusaidia nini? NA wewe je, maisha yako umeyachunguza? Na hata akiwa na wake wangapi why is it your concern? As long as watu wanamheshimu na kuona kuwa ana substance ya kuwapa Watanzania politically, na ndoa yake inatuhusu nini? Na ni criteria ya kuwa kiongozi? Mbona Marais wakubwa kama Ufaransa, na royals kama wa Uk nk, wana divorce and remarry etc and they are still leaders? Wacha double standards, je, umeshafanya research ya current leaders ukajua kama wana maisha gani ya iki-ndoa? Umekosa la kusema na la kufanya, na usifikirie such lame statements will ever discredit our beloved leader Dr. Slaa, na akitaka kuoa mwingine is hi spersonal choice, wala hatakaa akuombe wewe ushauri or anyone for that matter and he will continue t be respected for what he stands for-political integrity
 
Mimi sipendi hata kidogo kufuatilia mambo binafsi,mtu kama huna upungufu wa akili uwezi kuanza mada ya ajabu hivi,jaribuni kuleta mada za kuleta uelewa badala ya majungu,na mtu wa aina hii mara nyingi amekulia kwenye ndoa za mitala ndiyo maana ana stamina ya majungu.
 
Tukianza kuwatafuta wenye ndoa halali kwa staili hii basi TZ hakuna mwanasiasa hata mmoja atakayesimama. ni vizuri tukabezi kwenye mambo ya msingi maana siku hizi ndoa zenyewe afadhali hata kutoowa. maana siku ya arusi huwa kuna maharusi wengi wanashudua mizigo yao ikioa au ikiolewa. ukifikisha nyumbani siku mbili taraka. kwa hiyo hilo la nyumba tusijadili sana.
 
Nashangaa sana wakati mwingine. Nikiwa kwenye pc nitawawekea link za mada ambazo hamkuwa na muda wa kuzijadili. Naona hii ndio inajadiliwa kwa kuwa inamhusu mtu na si jambo.
 
we umeolewa?
umeachika mara ngapi?

naamini hujapenda maswali haya eti eh?
then acha mambo ya ndani yasiyo kuhusu
 
Ni poa tu kuuliza, coz anatuchanganya. Kamili yuko kimya si coz kazimwa na ubunge wa viti maalumu! unajua JF mtu akizungumzia watu manowaamini mnakuwa defensive sana, ndio ni kiongozi wangu nilimpigia kura lakini currently anazini, hili la kusema wangapi wana ndoa safi kwanini awe kati ya wachafu, he is unique individual n kwenye suala la familia inayoeleweka ingemuongezea credit for sure. Angalia Obama na familia yake anaheshika zaidi apart from his intelligency pia the way anahandle domestic issues coz asikudanganganye mtu familia ikitulia inampa utulivu muhusika na anakuwa more productive, so atuambie anazini now if yes lini ataishi maisha safi, angalau kwenye face ya jamii tu wether anajichanganya huko pembeni kivyake bt at least in da face
 
Hilo mbona DR asishalizungumzia sana, kwangu naona inatosha tujadili mambo mengine
 
Dk Slaa aliachana na mke wake.
Its too personal, au na wewe unataka kuolewa na Slaa ili uwe first lady 2015?

 
Nadhani ni vizuri ukamtafuta mwenyewe na kumuuliza maana hayo ni mambo yake ya ndani. Kuishi na mke si jambo jepesi mpaka uwe na kichwa kama cha mwendawazimu. sijui kama umeowa au la . Nakushauli uachane na hiyo hoja na uitoe mara moja kwa maana hatuhitaji kumjadili kiongozi wetu.

Kwanza utueleze yafuatayo kuhusu maisha yako:
1. wewe ni mwanamke au mwanaume?
2. umeolewa au umeoa?

Ukijibu maswali hayo utawasaidia wachangiaji kukusaidia.
 
Ni poa tu kuuliza, coz anatuchanganya. Kamili yuko kimya si coz kazimwa na ubunge wa viti maalumu! unajua JF mtu akizungumzia watu manowaamini mnakuwa defensive sana, ndio ni kiongozi wangu nilimpigia kura lakini currently anazini, hili la kusema wangapi wana ndoa safi kwanini awe kati ya wachafu, he is unique individual n kwenye suala la familia inayoeleweka ingemuongezea credit for sure. Angalia Obama na familia yake anaheshika zaidi apart from his intelligency pia the way anahandle domestic issues coz asikudanganganye mtu familia ikitulia inampa utulivu muhusika na anakuwa more productive, so atuambie anazini now if yes lini ataishi maisha safi, angalau kwenye face ya jamii tu wether anajichanganya huko pembeni kivyake bt at least in da face

Suala la kuzini umelitoa wapi na maana yake ni nini? kamili ulimfahamu vipi? alikuwa ameoana naye au walikuwa wanazini? Ulikuwa ukimchagua wakati ukijua kuwa anazini au ulijua kuwa anazini baada ya wewe kumpigia kura? Je unadhani katika viongozi wengi walioogoza/wanaoongoza Tz ni yeye tu ndiyo umemsikia kuwa ni mzinifu au kuna wengine unaowafahamu? Suala la uzinifu lina athari katika nafasi yake kama kiongozi? Je umetazama katiba ya Tz, na inasemaje kuhusu kiongozi kuwa mzinifu?
 
Ni poa tu kuuliza, coz anatuchanganya. Kamili yuko kimya si coz kazimwa na ubunge wa viti maalumu! unajua JF mtu akizungumzia watu manowaamini mnakuwa defensive sana, ndio ni kiongozi wangu nilimpigia kura lakini currently anazini, hili la kusema wangapi wana ndoa safi kwanini awe kati ya wachafu, he is unique individual n kwenye suala la familia inayoeleweka ingemuongezea credit for sure. Angalia Obama na familia yake anaheshika zaidi apart from his intelligency pia the way anahandle domestic issues coz asikudanganganye mtu familia ikitulia inampa utulivu muhusika na anakuwa more productive, so atuambie anazini now if yes lini ataishi maisha safi, angalau kwenye face ya jamii tu wether anajichanganya huko pembeni kivyake bt at least in da face

bora mkuu umeliona hili. Mi ni chadema damu sema tu sina kadi. Hawa wajf ni wepesi sana kuzodoa kuliko kuangalia hoja. Slaa ni kiongozi wangu lakini hiyo si sababu ya kutomhoji. Yeye ni public figure na inabidi awe mwadilifu. Kuna mada mbili nilibandika humu. Moja ni ccm na production concept. Ya pili ni Demokrasia na Maendeleo ndani ya chadema. Hakuna aliyejishughulisha kutoa wazo! Hizo topic zinahitaji uelewa kuchambua. Sasa wameona hii sijui ni nyepesi kutoa maoni mepesi waonekane wana uchungu na kiongozi wao. Ni kiongozi wangu pia. Hivyo kwa yeyote anaedandia kutoa kashfa hapa ni mpumbavu tu. Period!
 
nayaita maisha binafsi wala hatutapata faida yoyote kitaifa kuyajadili mambo yake. mtumie pm atakujibu tu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom