Nahitaji Kujua biashara ngapi zimefungwa 2015/16?

mwanaapolo

JF-Expert Member
Mar 14, 2014
256
78
Mwenye takwimu sahihi naomba kujuzwa biashara ngapi na gani zimeshindwa 2015/16 na kwa nini tafadhali? Je Tanzania ni nchi rafiki kwa Start-up business? au nikawekeze Rwanda na Kenya? Vipi mikopo inapatikana ki urahisi kutoka kwa taasisi za fedha? Biashara gani zinafanya vizuri, hasa kama una mtaji mdogo?

Uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi gani kwa robo ya mwisho wa mwaka?

Akhsante!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom