Nahitaji kujifunza kuongea Kiingereza kwa mtiririko mzuri

Nitoe ushauri kwako mleta mada na kwa wote wanaopenda kujifunza kuongea kiingereza kwa mtiririko mzuri.

When you want to speak, jaribu ku pronounce maneno slowly!

Yaani usitumie haraka.. Wengi wanataka waongee haraka haraka hata kabla hajaweza kuimaster vizuri lugha yenyewe ili tu aonekane anajua.

Hapo ndio watu wengi wanapoharibu!

Nenda taratibu. Hii inasaidia kuupa ubongo muda zaidi wa kutengeneza maneno mapya.. Sasa ukienda haraka mwishowe unajikuta unakwama!

Hii ni moja kati ya principles za kuongea kiingereza kwa mtiririko mzuri na ni muhimu sana japo wengi huwa hawalizingatii hili.
Umeongea jambo jema sana mkuuu ubarikiuweee..

Wengi wanahisi kuongea taratibu wataonekana hawwjui.

Kumbe ile kuomgea taratibu unazoesha ulimi,kadri siku zikienda unazowea unaanza kuchaganya
 
Mimi najifunza kuongea kiingereza.

Nikiongea taratibu najiona kama native speaker.

Ila nikiongea haraka dah naharibu
Sio mbaya! Mimi mwenyewe najifunza pia.

Halafu kuna jambo jengine interesting kuhusiana na kujifunza lugha.. Wengi wanataka wapate lafudhi flani hivi ya kuvutia wakati wakiongea. Kwa hiyo wanajikuta wanachanganya mambo.

Kwa mfano mimi naipenda sana ile lafudhi ya waingereza kuliko lafudhi ya wamarekani..

Sasa kuna muda nikitaka kuongea najisahau, nachanganya lafudhi zote mbili, kitu ambacho kinanipelekea nishindwe kupangilia maneno vizuri kichwani.

Basi ni lazima niharibu kazi!
 
Sio mbaya! Mimi mwenyewe najifunza pia.

Halafu kuna jambo jengine interesting kuhusiana na kujifunza lugha.. Wengi wanataka wapate lafudhi flani hivi ya kuvutia wakati wakiongea. Kwa hiyo wanajikuta wanachanganya mambo.

Kwa mfano mimi naipenda sana ile lafudhi ya waingereza kuliko lafudhi ya wamarekani..

Sasa kuna muda nikitaka kuongea najisahau, nachanganya lafudhi zote mbili, kitu ambacho kinanipelekea nishindwe kupangilia maneno vizuri kichwani.

Basi ni lazima niharibu kazi!
Lafudhi gani hiyo mkuu.

Mimi hata sijui tofauti ya lafudhi zao aisee.
 
Mko wengi mnaoanzisha uzi wa kutaka kuongea Kiingereza fasaha. Kwa nini hamjiungi na kuanzisha uhusiano kwa waliotangulia kutoa ombi kama hili ili kushirikiana na waliojitolea tayari, kuliko kila mtu kuanzisha uzi wake na kutegemea apate watu wake.
 
Kuna '7 Secret Rules' za kujifunza kuongea kiingereza cha kimalkia kwa wepesi, mdebwedo bila kutumia nguvu yoyote.

Rule No.2: Don't study English grammar

Mtasha anasema kama una mivitabu ya English Grammar yakusanye yote na uyachome moto

 
Wakuu vipi, hamjambo? Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza naomba msaada wa namna ya kujua kuongea ung'eng'e vizuri mbele ya watu.
Twende taratibu: Je, unaweza kuongea Kiswahili vizuri mbele za watu with confidence?!

Wengi tuna vocabularies za kutosha vichwani mwetu lakini tulicho-miss ni confidence ya kuongea, kwa sababu ikiwa unaweza kuandika page mzima kwa Kiingereza kizuri kabisa, kwanini hayo hayo uliyoandika ushindwe kuyaongea?!

CONFIDENCE!!!
 
Kwa mimi nilichogundua hii lugha kwanza lazima uipende kwa vitendo,tumia muda mwingi ku watch english conversation from Europe and Amerca and few african countries like SA,GHANA, soma magazeti ya lugha ya kiingereza kama the citizen,angalia sana move za kiingereza kama ulikuwa ni mpenzi wa dj Afro jipumzishe kidogo,kuhusu kiwango cha elimu unaweza ukawa prof. lakini kiingereza chako kisiendane na elimu yako so kujua hiyo lugha ni juhudi zako wewe mwenyewe na changamoto kubwa ipo katika kuwapata watu wakufanya nao maongezi ya hiyo lugha sababu hata wanao present vizuri nje ya jukwaa hawataki kusikia tena hiyo lugha.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hahahaa, pole sana rafik, well, accent has nothing to do with being fluent or not, however, it's the best way to impress those listening.
Personally I went to kayumba schools and my English was worse since was in grade 3 to when I was pursuing my masters degree. After I completed my masters degree with poor English I made up my mind to end this mess so I joined British council (BC)for a two month English course, this was my turning point . At BC had an opportunity to be taught by British teachers which made me getting familiar with speaking to wazungu, also I began to naturally sound like I grew up in Britain because in those two months was constantly surrounded by British English environment.
Today when I speak many people think I was educated in the UK but the truth is that was made possible by a two month English course at BC.
This doesn't mean I dont make grammatical mistakes when I speak or write English, I do make mistakes but one could tell that this guy has a good command of queen's language.
Thanks
 
Tune in BBC and CNN you will see the difference.
On BBC they speak with British accent, while on CNN they speak American.
Personally I did my English course at British council and was taught by the teacher with British roots so that really made my accent change to Britain.
But also in class were listening to BBC conversations(during listening class) this also affected my accent to British.
When you surround yourself with people speaking with chaga accent you will eventually start to sound like chaga, it's the same to English
 
Back
Top Bottom