Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Infantry Soldier alikuwa anauza vitabu vya kujifunzia hiyo lugha, wasiliana naye.
Currently, Youtube is ranked the foremost learning institution, far better that Havard, Cambridge, MIT, Oxford and John Hopkins combined (just kidding!)Nimejaribu sana ndugu yangu sijui E-learning lakin bado hata kama kuna app au website naweza soma na kujifunza na nikapata cheti naomba ni saidie
Mkuu huyo Infantry Soldier si alikuwa anauza gari yake ili anunue bajaji? Sasa yeye na lugha ya kijerumani wapi na wapiInfantry Soldier alikuwa anauza vitabu vya kujifunzia hiyo lugha, wasiliana naye.
Mkuu huyo Infantry Soldier si alikuwa anauza gari yake ili anunue bajaji? Sasa yeye na lugha ya kijerumani wapi na wapi
Sawa mkuu shukran ngoja nimtafute
Sina maana hiyo mkuu. Basi jamaa atakuwa anauza vitu vingi sanaKwamba ukiwa unauza gari hutakiwi kujua lugha tofauti na Kiswahili?
Sina maana hiyo mkuu. Basi jamaa atakuwa anauza vitu vingi sana
Bado vipo mkuuMkuu huyo Infantry Soldier si alikuwa anauza gari yake ili anunue bajaji? Sasa yeye na lugha ya kijerumani wapi na wapi
Mzee baba bado ninavyoInfantry Soldier alikuwa anauza vitabu vya kujifunzia hiyo lugha, wasiliana naye.
Mzee baba bado ninavyo
Poa mkuuMteja huyo hapo, ongea naye vizuri.
Njoo PM mkuuNdugu wanabodi nilikuwa naomba msaada mwenye kujua wapi naweza kujifunza kijerumani kwa ufasaha kuongea na kuandika hata kama ni kwa njia ya mtandaoni nipo tiyari
Sawa mkuuBado vipo mkuu
Nenda Goethe Institute pale Allykhan.Utafundishwa Kijerumani uwe mtaalam.Ndugu wanabodi nilikuwa naomba msaada mwenye kujua wapi naweza kujifunza kijerumani kwa ufasaha kuongea na kuandika hata kama ni kwa njia ya mtandaoni nipo tiyari
Unaambiwa hata Uishi miaka 100 ujerumani huwezi kuwa mjerumani...Hata uwe mweupe kama Albino na uongee kijerumani zaidi ya hitler bado huwezi kuwa mjerumani.
.Ndiyo Jinsi hawa jamaa wanavyojikubali wanaona hapa duniani mungu aliumba kwanza wajerumani kisha race zingine.
.Sasa wewe wa kwa mpalange sura nyeusi kama Kante unataka ujifunze Lugha ya waNazi ili ugundue nini? Au ndo kujipendekeza kwa wasiokutaka