Wewe hujui kabisa yaani ata kwamba hii horni, steringi, yaani hujui kabisa.
Ingia google play, download ‘Driving app’ yeyote nzuri, jifunze basics, halafu muombe ndugu yako yeyote mwenye gari akufundishe sehemu ya wazi, baada ya hapo aanze kukufundisha barabara za vichochoroni, ukishazoea contro lza gari, aanze kukuingiza lami za service road, baada ya hapo akupeleke main road , ila sehemu zisizo na traffic, baada ya mida utakuwa umejua. Leseni nenda kahonge tu unaletewa hadi mlangoniHabari ndugu wana JF
Nipo Dar es salaam natafuta sehemu nzuri ya kujifunza driving ,gharama zake na muda wa mafunzo ni kwa muda gani naomba kufahamishwa.
Asante nawasilisha.