Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo

Mkuu,
Mimi ni mkulima wa mbogamboga na mfugaji pia, kwasasa nalima Cabbage(kilimo cha umwagiliaji) na bei yake ni nzuri sana sokoni kuanzia mwezi wa kumi mpaka wa kwanza though sina experience ya Songea..
Soko langu hasa ni Kenya na Arusha
Nakushauri yafuatayo
1.Fanya utafiti wa masoko ya mazao hasa mbogamboga(zinalipa sana)
2.Nenda field(mkulima ) mwombe umsaidie kujitolea kwake hata wiki moja(lengo ni kujifunza kwa vitendo, utajua mengi na yatakusaidia sana)
3.Andaa rough budget ya mradi
4.Anza mradi. Usisubiri pesa nyingi anza taratibu na ulichonacho
Ukifanya hivyo utanipa mrejesho soon
Kilimo hakiongopi.!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ww unalimia wapi?
 
Naombeni ushauri wenu mimi ni mhitimu wa chuo. Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo....changamoto sijapata zao ambalo ni la moja kwa moja kulifanyia kazi..naombeni ushauri wenu... Niko mikoani.. Ardhi ipo ya kutosha na maji yapo ila financial status ya wakaz wa huku sio nzuri sanaa... Naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo kina lips sana, hapa wilayani Karagwe, mkoa wa Kagera tunalima zao la Chia, tulipata mbegu isiyo zidi kilo 5 miaka minne iliyo pita, lakini kutokana na matokeo mazuri mwaka huu 2018 tumepata kiasi cha 80MT.
Solo tunalo kubwa sana,linazidi uzalishaji, solo lili hitaji walau 250MT lakini hatukufikia uhitaji.
Solo la uhakika lipo, ukihitaji mbegu na maelezo tuwasiliane, ukilima solo lipo, kwa sasa mbegu tunauza Sh 5000 kwa kilo, ssa kazi ni kwako.
Mbegu tunauza kwa being hiyo ili watanzania tulime na kuchangamkia solo hilo.
Baadhi ya nchi zinazo nunua ni USA, Australia, Netherlands n.k.

Sins nia ya kuharibu biashara kwa za watu, uzalendo ndio umenisukuma.
 
Ukipata muda karibu Karagwe mwezi wa 11 & 12 uone Chia ikiwa shambani pia uongee na wakulima, usikie shuhuda kutoka kwao.
Ukihitaji mbegu utaipata kama nilivyo sema Sh 5,000/= kwa kilo.
Sharti ununue kwa lengo la kuzalisha ili tuongeze idadi ya wakulima.
Wasiliana nami 0787452884, nisipo kuwa hewani kwa sababu za mtandao tuna meseji
Naomba ushauri wa zao la kulima lenye tija...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,
Mimi ni mkulima wa mbogamboga na mfugaji pia, kwasasa nalima Cabbage(kilimo cha umwagiliaji) na bei yake ni nzuri sana sokoni kuanzia mwezi wa kumi mpaka wa kwanza though sina experience ya Songea..
Soko langu hasa ni Kenya na Arusha
Nakushauri yafuatayo
1.Fanya utafiti wa masoko ya mazao hasa mbogamboga(zinalipa sana)
2.Nenda field(mkulima ) mwombe umsaidie kujitolea kwake hata wiki moja(lengo ni kujifunza kwa vitendo, utajua mengi na yatakusaidia sana)
3.Andaa rough budget ya mradi
4.Anza mradi. Usisubiri pesa nyingi anza taratibu na ulichonacho
Ukifanya hivyo utanipa mrejesho soon
Kilimo hakiongopi.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
nahitaji mawasiliano kaka nipo Kiwangwa nahitaji soko la nanasi bado kama mwez tuvune
 
Naombeni ushauri wenu mimi ni mhitimu wa chuo. Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo....changamoto sijapata zao ambalo ni la moja kwa moja kulifanyia kazi..naombeni ushauri wenu... Niko mikoani.. Ardhi ipo ya kutosha na maji yapo ila financial status ya wakaz wa huku sio nzuri sanaa... Naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia ni graduate kutoka SUA mwaka 2018..nna mpango wa kulima vitunguu kule chekereni moshi mwezi ujao.
Gharama ya kukodi ekari moja yenye kisima kwa ajili ya umwagiliaji ni Tsh.300,000/=
Nahitaji mtu mwaminifu ili tushee nae gharama za uzalishaji kwa ekari moja ya vitunguu aina ya Neptune ni roughly 1.5M
 
Mkuu mimi binafsi nitakushauri uende sokoni kwanza ili ujue mahitaji ya soko yakoje!

Mfano kwa watu wa dsm wanakula sana mihogo( uswazi na maofisini) maana siku hizi watu hawataki kula chapati na kujaza korie mwilini!

Kama una eneo ambalo liko karibu na mkoa huu wanaokula hii kitu basi tafuta mbegu za muda mfupi( 8 months) unaingiza sokoni!

Bei ni 3/4 pcs kwa 1000/=
Kumbuka kuchukua cuttings ambazo ni salama yakiugua hakuna dawa utakuwa umekula loss kwa hiyo uwe makini kuchagua mbegu!
Jaman hii mihogo mbn nasikia haiuziki
 
Naombeni ushauri wenu mimi ni mhitimu wa chuo. Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo....changamoto sijapata zao ambalo ni la moja kwa moja kulifanyia kazi..naombeni ushauri wenu... Niko mikoani.. Ardhi ipo ya kutosha na maji yapo ila financial status ya wakaz wa huku sio nzuri sanaa... Naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta zao la muda mfupi kama vitunguu, maharage nk tafute shamba karibu na mto ili ufanye kilimo cha umwagiliaji, changamoto kubwa huwa ni mtaji na utalaam, kilimo kinahitaji pesa
 
Unategemea kuanza lini mkuu.
Mimi pia ni graduate kutoka SUA mwaka 2018..nna mpango wa kulima vitunguu kule chekereni moshi mwezi ujao.
Gharama ya kukodi ekari moja yenye kisima kwa ajili ya umwagiliaji ni Tsh.300,000/=
Nahitaji mtu mwaminifu ili tushee nae gharama za uzalishaji kwa ekari moja ya vitunguu aina ya Neptune ni roughly 1.5M
 
Back
Top Bottom