2nzi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 248
- 216
Wamama tupo,..ila nimeogopa kumkatisha tamaa mleta uzi,kwa ml 13 mimi nimejenga master,jiko,sebule na vibaraza mbele na nyuma.Kina mama kwenye huu uzi mbona siwaoni
au mnasubiri wengine tujenge nyie mje mjiite "mother house"??
ebu wanawake mkuje m comment mnapita tuu mnasoma kimya kimya
mje mseme hapa bei za kokoto sh ngapi,maana nyie ndio mnasumbua sana tarehe za kodi kutudai
msg zenu za kutukumbusha kodi zimezidi,haya mje hapa mseme nondo sh ngapi na hy 13M inatoa nyumba ya aje.
Na haijaisha vyema,baadhi ya vyumba hakuna plaster