Habari za wakati huu,
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo kikuu, mwaka wa kwanza katika fani ya uhasibu. Naomba msaada katika mambo yafuatayo:
1.Nahitaji kuhama fani kutoka uhasibu na kuhamia fani nyingine, mwaka wa masomo ujao. Hatua ipi nifanye?
2.Nina mkopo kutoka HESLB, nitaweza vipi kubaki kuwa mnufaika wa mkopo huu?
MUHIMU:
Nimesoma semister ya kwanza na kufaulu masomo yote vizuri.
Nikili kufanya makosa katika kuchagua fani hii ya uhasibu, japokuwa naimudu kimasomo. SITAMANI KULAUMIWA KATIKA HILI. NILIPO SASA NAHITAJI MAWAZO YA KUFANIKISHA JAMBO HILI, ILI MWAKA WA MASOMO UJAO NIANZE UPYA MASOMO YANGU YA FANI NYINGINE HUKU CHUO KIKUU.
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo kikuu, mwaka wa kwanza katika fani ya uhasibu. Naomba msaada katika mambo yafuatayo:
1.Nahitaji kuhama fani kutoka uhasibu na kuhamia fani nyingine, mwaka wa masomo ujao. Hatua ipi nifanye?
2.Nina mkopo kutoka HESLB, nitaweza vipi kubaki kuwa mnufaika wa mkopo huu?
MUHIMU:
Nimesoma semister ya kwanza na kufaulu masomo yote vizuri.
Nikili kufanya makosa katika kuchagua fani hii ya uhasibu, japokuwa naimudu kimasomo. SITAMANI KULAUMIWA KATIKA HILI. NILIPO SASA NAHITAJI MAWAZO YA KUFANIKISHA JAMBO HILI, ILI MWAKA WA MASOMO UJAO NIANZE UPYA MASOMO YANGU YA FANI NYINGINE HUKU CHUO KIKUU.