Wilinasi Petroleum
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 207
- 197
Habarini ndugu zangu,
Nahitaji kufungua tuition centre yangu kubwa katika mkoa wangu, ili nisaidie jamii yangu.
Hebu nisaidieni mawazo, changamoto zake ni zipi? Na mahitaji ni Yepi?
Nahitaji kufungua tuition centre yangu kubwa katika mkoa wangu, ili nisaidie jamii yangu.
Hebu nisaidieni mawazo, changamoto zake ni zipi? Na mahitaji ni Yepi?