Wilinasi Petroleum
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 207
- 197
Habarini ndugu zangu nahitaji kufungua tuition centre yangu kubwa pamoja na maabara katika mkoa wangu, ili niajili na kusaidia jamii yangu.
Hebu nisaidieni mawazo, changamoto zake ni zipi? Na mahitaji ni Yepi?
Hebu nisaidieni mawazo, changamoto zake ni zipi? Na mahitaji ni Yepi?