Wakuu nahitaji kufika ilipo shule ya sekondari Engarenaibor Longido nikitoka Arusha.
Je, kuna gari za moja moja toka Arusha kwenda huko au ni lazime niende mpaka Longido mjini au Namanga? Na nauli ikoje?
Naomba kueleweshwa Kwa wanaojua hii shule ilipo.
Natanguliza shukrani
Je, kuna gari za moja moja toka Arusha kwenda huko au ni lazime niende mpaka Longido mjini au Namanga? Na nauli ikoje?
Naomba kueleweshwa Kwa wanaojua hii shule ilipo.
Natanguliza shukrani