Lughano Mwamboghela
New Member
- May 3, 2013
- 1
- 0
Shalom! Wanaforam wote
By Mwambo
By Mwambo
:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:... yaani umeyaficha maujanja yote... umeyatamia...:yell::yell::yell::A S-fire1::A S-fire1:Nimechoka kuandika leo, nipigie simu nikupe utaratibu mzima, huna haja ya kusafiri. 0757 212122. Kazi ni kwako!
Nimechoka kuandika leo, nipigie simu nikupe utaratibu mzima, huna haja ya kusafiri. 0757 212122. Kazi ni kwako!
Wadau ni njia zipi nifuate ili kufanya kazi na haya makampuni???
Pls kwa anayejua na aliyefanya nao naomba anaeleze.
N:B Pia mapungufu ya kazi hiyo mniambie wadau.
Kwa urahisi waweza ni sms a.rashid@jigambe.com
ha ha ha ha!na mimi nikupigie?Nimechoka kuandika leo, nipigie simu nikupe utaratibu mzima, huna haja ya kusafiri. 0757 212122. Kazi ni kwako!
Hupati kazi kwa kuwa hujui kuandika..m pessa ndo nini?nenda kalime unajaza nafasi tu mjini hapa
Lakini ameeleweka!
Mkuu tafadhali nisaidie utaratibu wa kufuata ili nipate line ya m-pesa super agent.Mkuu angalia hii kutoka kwenye site ya vodacom procedure za kujiunga nadhani na wengine watakuwa kama voda..
Pia kuhusu tigo cheki hapa ::: Tigo :::Kuhusu