Last_Joker
Member
- Nov 23, 2018
- 29
- 17
Za mpunga kwasasa sina kiongoziPumba za mpunga unazo? Na unauzaje kwa zile laini na rafu?
Za mpunga kwasasa sina kiongoziPumba za mpunga unazo? Na unauzaje kwa zile laini na rafu?
Hii bei bado ipo hivi hivi mpaka sasa? na ni pumba mbichi ama kavu?mjini
hapa hapa,kwa 1500 kwa debe
Hapana,kwa sasa ni 2000Hii bei bado ipo hivi hivi mpaka sasa? na ni pumba mbichi ama kavu?
Sawa broHapana,kwa sasa ni 2000
Kavu