Eti mwanamke akimaliza leo siku zake na kesho ukafanya naye mapenzi anaweza kupata mimba
Haiwezekani
pia ni muda gani dalili za mimba huanza kujitokeza ikiwa mwanamke atashika mimba
Dalili ya kwanza na muhimu ni kukosa siku zake, mwezi wa kwanza wa mimba yake
Note: Nimekujibu haya maswali ila najua kabisa umri wako ni mdogo kuanza kufanya ngono, na umekuja hapa ili ukishapata hayo majibu ukadinyane na girfriend/boyfriend wako. Sasa ole wako ukienda kufanya ngono na KUNASANA kuwe juu yako....