Mkomawatu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 267
- 118
Habari ndugu zangu wana JF! Upo msemo mmoja wa kiingereza usemao "no research no right to speak", hivi ndivyo ilivyo kwangu binafsi,naomba wadau wenye taarifa za kina kuhusu chama cha ADC wanijuze,nahitaji kufahamu makao makuu yake,utaratibu wa kujiunga na chama,Je vipi chama cha ADC kina Jumuiya ya vijana Taifa,vilevile nahitaji kufahamu falsafa ya chama.Ndugu zangu naomba nisaidiwe tafadhali kwa sababu hadi sasa nipo kwenye upembuzi wa chama cha kujiunga nacho.