ALEX_ANDER
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 570
- 812
Habarini waungwana!?
Natumai mu wazima na mnatambua historia ya nchi yetu tarehe kama ya leo ndio tulipata uhuru kutoka kwa waingereza.
Hivi hii inayosemekana kuwa ni bendera ya Tanganyika huku google ,inatambulika kweli kiserikali? Inatumikaga wapi kuwasilisha Tanzania bara maana sikumbuki kama inatumikaga hata katika sherehe za uhuru na bahati mbaya hata sijafatilia televised match Kilimanjaro star vs Zanzibar heros.
Nieleweshwe jamani.
Wasalam
Natumai mu wazima na mnatambua historia ya nchi yetu tarehe kama ya leo ndio tulipata uhuru kutoka kwa waingereza.
Hivi hii inayosemekana kuwa ni bendera ya Tanganyika huku google ,inatambulika kweli kiserikali? Inatumikaga wapi kuwasilisha Tanzania bara maana sikumbuki kama inatumikaga hata katika sherehe za uhuru na bahati mbaya hata sijafatilia televised match Kilimanjaro star vs Zanzibar heros.
Nieleweshwe jamani.
Wasalam