713
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 307
- 702
- Thread starter
- #41
Acha kwanza huo Ualimu.
Njoo mtaani! Tukae kidogo halafu ujifunze Computer na ICT utapata connection ya Uhamiaji kirahisi sana mkuu.
Trust me!! Na akili itakukaa sawa.
Mtaani nimekaa miaka 5 bila ajira hivo najua harakati Za kitaa vizuri kaka usionge kuwakatisha watu tamaa kama unauwezo wa kumshauri mtu mshauri