713
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 307
- 702
Ndugu wadau nilikuwa naomba ushauri wenu nipo kwenye ajira ya uwalimu kutokana na. Mda nilioka nahitaji kubadilisha kutoka uwalimu kwenda uhamiaji au Computer science au ICT katika wizara yoyote au hata ndani ya Elimu hiyo hiyo nina level ya Elimu shahada BAED naomba ushauri wenu nifanyeje ili nitimize malengo maana hivo ndio vitu ambavyo nilitaman kuvifanya tangu nakuwa ila kutokana na familia zetu na mambo ya mkopo wa chuo nikajikuta nimeangukia kwenye Uwalimu
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha