The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,424
- 13,381
Habari waungwana !
Hivi karibuni nilibahatisha kiwanja cha mawe ya chokaa(mgodi) ekari 50 nikakinunua kwa taratibu zote
Naomba Wajasiriamali mnishauri juu ya uanzishaji kiwanda, majhitaji ya mashine na je nazipataje?
Kama kuna mtu mshauri mzuri(mtaalamu) na juu ya masoko.
Hivi karibuni nilibahatisha kiwanja cha mawe ya chokaa(mgodi) ekari 50 nikakinunua kwa taratibu zote
Naomba Wajasiriamali mnishauri juu ya uanzishaji kiwanda, majhitaji ya mashine na je nazipataje?
Kama kuna mtu mshauri mzuri(mtaalamu) na juu ya masoko.