Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Swala sio uwepo wao, ishu ni uwajibikaji wao.Nafahamu wapo kila mahali
mimi ni mtafiti, nimetembea mikoa zaidi ya mikoa 27 bara na Z'bar, hawa watu hawatekelezi wajibu wao ipasavyo na ndio sababu kuu ya wakulima kupata hasara na biashara kufilisika kila uchwao.
tena nahis labda vijijin bora wanaonrkana... huku mijini unamlipa bwana shamba 100000/-