Nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga

Swala sio uwepo wao, ishu ni uwajibikaji wao.Nafahamu wapo kila mahali
mimi ni mtafiti, nimetembea mikoa zaidi ya mikoa 27 bara na Z'bar, hawa watu hawatekelezi wajibu wao ipasavyo na ndio sababu kuu ya wakulima kupata hasara na biashara kufilisika kila uchwao.

tena nahis labda vijijin bora wanaonrkana... huku mijini unamlipa bwana shamba 100000/-
 
Kalime zao ghali duniani saffron (zaafaran)
Pekua sana kwenye mitandao
Zao hili hulimwa sana Iran na Spain
Kg moja ni kuanzia milion 4 na kuendelea
Acha urongo Wewe zaafarani kilo moja inauzwa she elfu kumi na sita
 
Wapendwa nimechoka na ajira za kubangaiza za bongo, nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga. Ninachoomba msaada kwa wanajukwaa ni haya maswali hapa;

1. Zao hili linaweza kuhimili hali ya hewa ya haya maeneo na kama sio maeneo yapi ni muafaka kulima hapa Tanzania ( conducive environment to grow beetroots)

2. Ni variety ipi nzuri kupanda katika maeneo haya,

3. Je, ni mambo gani muhimu ya kuzingatia kuweza kuzalisha mazao bora

4. Masoko yake yakoje hapa Tanzania

5. Misimu yake imekaaje? upi mzuri kulima zao hili

Jukwaa hili kubwa, linawatu mahili naomba msaada jamani

Asanteni;

Chamwino Makulu.
Umemaanisha wapemba au wapendwa?
 
Acha urongo Wewe zaafarani kilo moja inauzwa she elfu kumi na sita
Hiyo inalimwa wapi ya bei hiyo?
Unaijua saffron wewe
Unaniita muongo
Mimi nanunua na kuuza kila siku na ni ya Spain/Iran
10gm ni £35
Usibishe kwa jambo usilolijua na kwa bei hiyo mimi ntakupa mil 2/kg njoo PM tufanye biashara bila longolongo sawa
 
Hiyo inalimwa wapi ya bei hiyo?
Unaijua saffron wewe
Unaniita muongo
Mimi nanunua na kuuza kila siku na ni ya Spain/Iran
10gm ni £35
Usibishe kwa jambo usilolijua na kwa bei hiyo mimi ntakupa mil 2/kg njoo PM tufanye biashara bila longolongo sawa
Mkuu hiyo Bei ya milioni 4 Ni kavu au mbichi mkuu
 
Mkuu hiyo Bei ya milioni 4 Ni kavu au mbichi mkuu
Hii ni bei ya London
Na ni baada ya kukaushwa maana haiuzwi mbichi
Jamaa anabisha wakati mimi nanunua na kuuza kila wakati
Hili zao ni ghali sana na linalimwa sana Iran na Spain
Ni sawa na kumbishia mtu paketi ya sigara sh 3000 na mwingine akakuambia ni £11 kwa paketi sawa na sh 35,000
Soko la kimataifa ndio bei tunazozijua kwa wafanyabiashara wa nje na ni lazima tujue hivyo
Saffron ni stem ya ua ambalo hukaushwa na kuhifadhiwa vizuri ili harufu isipotee
20181222_143859.jpeg
 
Hii ni bei ya London
Na ni baada ya kukaushwa maana haiuzwi mbichi
Jamaa anabisha wakati mimi nanunua na kuuza kila wakati
Hili zao ni ghali sana na linalimwa sana Iran na Spain
Ni sawa na kumbishia mtu paketi ya sigara sh 3000 na mwingine akakuambia ni £11 kwa paketi sawa na sh 35,000
Soko la kimataifa ndio bei tunazozijua kwa wafanyabiashara wa nje na ni lazima tujue hivyo
Saffron ni stem ya ua ambalo hukaushwa na kuhifadhiwa vizuri ili harufu isipotee View attachment 974649
Mkuu mbeguvtapata wapi nilime Hilo zao mnunuzi wangu utakuwa Wewe labda useme huhitaji ndo niawauzia wengine.
NB take it serious sio utani tafadhali
 
Mkuu mbeguvtapata wapi nilime Hilo zao mnunuzi wangu utakuwa Wewe labda useme huhitaji ndo niawauzia wengine.
NB take it serious sio utani tafadhali
Kwanza nashukuru kwa kunipa ofa hiyo
Pili, sijajua kama kuna wakulima huko maana ni zao linalotaka uangalizi sana.
Nakuomba ulisome kidogo Google ujiridhishe na ni wapi linaweza kustawi

Mimi nanunua kwa wholesalers huku na kuuza
 
mkuu sidhani kama shida ni ukosefu wa taarifa/elimu juu ya kilimo kwa wakulima!

usemavyo ni sahihi kua tuna vituo vingi vya ARI ambavyo vinatoa elimu aither kwa kufuatwa au kufuata wakulima kulingana na hali ya kilimo na mwenendo wa mazao nchini.

Kuna haja ya serikali kupitia ofisi hizi za kilimo kila halmashauri na hizi za ARI kuwa na msukumo wa nyenzo za kusaidia wananchi.

kwa mfano zao kama hili linaonekana ni geni lakini lipo maeneo baadhi nchini linafanya vizuri na linaonekana kua na soko, kwa hiyo ni wakati mwafaka wa serikali kulifanyia kazi maana sio kila mwananchi anaetamani kulima anauelewa na anaweza kumudu gharama za inputs pamoja na soil analysis ili kujua kama zao eneo lake litastahimili au lah!
Hivi kuna watu mna ulemavu wa kujishughulisha? Acheni excuse za kipuuzi fanyeni kazi mpate inputs kwa gharama zenu wenyewe, serikali haitozi kodi inputs nyingi na hata mazao yakikomaa

Fanyeni kazi acheni kulalama upumbavu kila kitu serikali utafikiri ukifeli maisha serikali itakuhurumia
 
Hivi kuna watu mna ulemavu wa kujishughulisha? Acheni excuse za kipuuzi fanyeni kazi mpate inputs kwa gharama zenu wenyewe, serikali haitozi kodi inputs nyingi na hata mazao yakikomaa

Fanyeni kazi acheni kulalama upumbavu kila kitu serikali utafikiri ukifeli maisha serikali itakuhurumia
asante kwa ushauri wako mkuu!

lakini naomba ufatilie uhusiano wa input na output kutoka katika serikali yako halafu uje tena uchangie!

soko la mazao na inputs zote halafu urudi hapa.
 
Back
Top Bottom