Nahitaji kuagiza simu online Kenya kama ulishawahi nipe connection

Meljons

JF-Expert Member
Jun 25, 2012
3,085
1,360
Habari za muda huu.

Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu.

Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako unipe huyo muuzaji wako ninunue kwake nisijetapeliwa, kuna wauzaji wa insta niliwaona ndio wakaniimpress kufanya hivyo account inaitwa @mobilehubkenya.

Nitashukuru kama nitapata jibu la kujenga na sio kejeli
Asanteni
 
Habari za muda huu.
Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu. Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako unipe huyo muuzaji wako ninunue kwake nisijetapeliwa, kuna wauzaji wa insta niliwaona ndio wakaniimpress kufanya hivyo account inaitwa @mobilehubkenya.
Nitashukuru kama nitapata jibu la kujenga na sio kejeli
Asanteni

Usijaribu hao ni matapeli tena wana accouts kama 20 hivi Instagram na wanalipia insta ads kabisa. Utakatwa kichwa kama kuku. Wanaweka mpaka iphone x mass 256, ear pod na Apple Watch ️ kwa sijui tsh2m , ugx sijui ngap na ksh kadhaaa ..

Usijaribu kabisa ni scammer 100% nimechezea nao mpaka wakakimbia .. angalia **** uzi hata mimi niliuliza cheki utauona
 
Usijaribu hao ni matapeli tena wana accouts kama 20 hivi Instagram na wanalipia insta ads kabisa. Utakatwa kichwa kama kuku. Wanaweka mpaka iphone x mass 256, ear pod na Apple Watch ️ kwa sijui tsh2m , ugx sijui ngap na ksh kadhaaa .. usijaribu kabisa ni scammer 100% nimechezea nao mpaka wakakimbia .. angalia **** uzi hata mimi niliuliza cheki utauona
Asante sana ndugu maana nilishawishika sana at last nikawaza ngoja niulize hapa..
 
Hapo unapoishi hakuna maduka ya simu?Yaani unataka kuagiza simu Kenya as if unanunua gari,Peleka iyo pesa Kwa Watanzania wenzako nao wapate riziki kupitia wewe.
Labda kuna simu zinatengenezwa Kenya na zikija Tz bei inakua kubwa sana
 
Inategemeana na unaye fanya naye biashara, binafisi nimefanya biashara nyingi sana na Wakenta na hatujawahi onana.

Uki pima rate ya ya uamiifu basi Wakenya wanatuzidi sisi.

Kikubwa ni kuchukua tahadhari tu, na kama una ndugu Kenya anaweza kwenda kukuchukulia akakutumia,
Habari za muda huu.

Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu.

Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako unipe huyo muuzaji wako ninunue kwake nisijetapeliwa, kuna wauzaji wa insta niliwaona ndio wakaniimpress kufanya hivyo account inaitwa @mobilehubkenya.

Nitashukuru kama nitapata jibu la kujenga na sio kejeli
Asanteni
 
Wafanya baishara wengi wanachukua simu Nairobi, mfano Arusha simu zote ziwe Used au New zinachukuliwa Nairobi, Sana simu Used zinazo toka nje kituo chao kikuu i Nairobi. Kule kuna machimbo ya simu bei nafuu sana
Labda kuna simu zinatengenezwa Kenya na zikija Tz bei inakua kubwa sana
 
Wakenya na wanaijeria wanafanana ni matapeli kuwa makini sana.
Habari za muda huu.

Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu.

Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako unipe huyo muuzaji wako ninunue kwake nisijetapeliwa, kuna wauzaji wa insta niliwaona ndio wakaniimpress kufanya hivyo account inaitwa @mobilehubkenya.

Nitashukuru kama nitapata jibu la kujenga na sio kejeli
Asanteni
 
Shukrani huu nao ni ushauri mzuri sana
Inategemeana na unaye fanya naye biashara, binafisi nimefanya biashara nyingi sana na Wakenta na hatujawahi onana.

Uki pima rate ya ya uamiifu basi Wakenya wanatuzidi sisi.

Kikubwa ni kuchukua tahadhari tu, na kama una ndugu Kenya anaweza kwenda kukuchukulia akakutumia,
 
Mie walivyoniambia nitume pesa kwanza ndiyo mzigo uje dsm hapo ndipo tulipo shindwana nikaona kabisa hizi ni dalili za kupigwa
 
Back
Top Bottom