Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,085
- 1,360
Habari za muda huu.
Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu.
Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako unipe huyo muuzaji wako ninunue kwake nisijetapeliwa, kuna wauzaji wa insta niliwaona ndio wakaniimpress kufanya hivyo account inaitwa @mobilehubkenya.
Nitashukuru kama nitapata jibu la kujenga na sio kejeli
Asanteni
Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu.
Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako unipe huyo muuzaji wako ninunue kwake nisijetapeliwa, kuna wauzaji wa insta niliwaona ndio wakaniimpress kufanya hivyo account inaitwa @mobilehubkenya.
Nitashukuru kama nitapata jibu la kujenga na sio kejeli
Asanteni