Habari wadau. Nahitaji kununua kiwanja Dar katika maeneo yafuatayo, kigamboni nje ya eneo la mradi,mmbande,mbagala,toa ngoma, gezaulole, sala sala, madale bajeti yangu ni 5m. Mwenye nacho aniPM tufanye biashara. Kisizidi hiyo bajeti tafadhali.
Habari wadau. Nahitaji kununua kiwanja Dar katika maeneo yafuatayo, kigamboni nje ya eneo la mradi,mmbande,mbagala,toa ngoma, gezaulole, sala sala, madale bajeti yangu ni 5m. Mwenye nacho aniPM tufanye biashara. Kisizidi hiyo bajeti tafadhali.