uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 513
Habari zenu!
Nahitaji kioo cha simu yangu aina ya Samsung Galaxy Note10 Plus. Simu ilianguka ikagonga sehemu ktk kona ya kulia upande wa chini. Sasa baada ya tukio hili natumia peni tu kimatumizi inakubali lakini kwa vidole haikubali.
Kuna mtu alinishauri nitafute used kuliko kuagiza akidai ntapata lkn kinakuwa ni copy sio genuine. Kwa anaefahamu bei yake inaweza kuwa sh ngapi na waoi naweza kupata.
Note: Simu inafanya kazi vizuri kabisa na hakuna hata alama labda ya wino au lolote kwenye kioo zaidi ya mipasuko midogo midogo ktk kona.
Chief-Mkwawa
Cc Mafundi simu
Nahitaji kioo cha simu yangu aina ya Samsung Galaxy Note10 Plus. Simu ilianguka ikagonga sehemu ktk kona ya kulia upande wa chini. Sasa baada ya tukio hili natumia peni tu kimatumizi inakubali lakini kwa vidole haikubali.
Kuna mtu alinishauri nitafute used kuliko kuagiza akidai ntapata lkn kinakuwa ni copy sio genuine. Kwa anaefahamu bei yake inaweza kuwa sh ngapi na waoi naweza kupata.
Note: Simu inafanya kazi vizuri kabisa na hakuna hata alama labda ya wino au lolote kwenye kioo zaidi ya mipasuko midogo midogo ktk kona.
Chief-Mkwawa
Cc Mafundi simu