Habari. Mimi nina mpango wa kuhamia Iringa. Ni jinsi ya kiume. Natamani sana kufahamiana na wenyeji, mtu mchakarikaji na mwenye maono na mwenye hofu ya Mungu. Sijali jinsi wala dini. Yoyote karibu.
Kwa mawasiliano zaidi pm iko wazi
Mtu muaminifu huwezi kumpata kwa kutoa tangazo maana anaweza kujitokeza na aka-pretend kuwa ni muaminifu kumbe kavaa koti kwa nje ni kondoo na ndani ni nyoka. Unachotakiwa kufanya ni kujipa muda na usiwe na haraka kwenye kumpata huyo muaminifu unayesema. Tembelea eneo husika na ishi katika hayo mazingira ikibidi. Fanya utafiti mfupi. Kisha baada ya muda unaweza kumpata mtu anayeendana na qulities unazohitaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.