Habari wadau, nahitaji kijana awe ni mkazi wa Dar na jinsia yoyote, umri ni miaka 18-25.Pia awe na taaluma ya habari na ujuzi unaohusiana na kazi kama subject inavyojieleza.
Mradi tunafanya Mwanza,Tanga, Morogoro,Mtwara na Dar Es Salaam
DM, kabla ya Ijumaa ya tarehe 12/10/2019
Mradi tunafanya Mwanza,Tanga, Morogoro,Mtwara na Dar Es Salaam
DM, kabla ya Ijumaa ya tarehe 12/10/2019