BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,974
Tafadhari husika na mada tajwa hapo juu..
Nahitaji kijana mmoja aliye somea diploma ama certificate of medical laboratory science.
Vigezo awe amesajiliwa na bodi ya wataalamu wa maabara ya binadamu.
Kituo cha kazi ni Dodoma.
Mshahara ni kwa mujibu wa scale ya serikali.
Kwa maelekezo zaidi,njoo PM.
Wahi nafasi ni chache,
Nahitaji kijana mmoja aliye somea diploma ama certificate of medical laboratory science.
Vigezo awe amesajiliwa na bodi ya wataalamu wa maabara ya binadamu.
Kituo cha kazi ni Dodoma.
Mshahara ni kwa mujibu wa scale ya serikali.
Kwa maelekezo zaidi,njoo PM.
Wahi nafasi ni chache,