vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,146
- 2,838
naona umevuta kiti mbeleBado nipe mchongo
naona umevuta kiti mbeleBado nipe mchongo
Kwanza nampa pole kijana kwa haya anayopitia, hata hivyo kinachotushinda wengi kuwaajiri vijana wenye shida kama hizi ni kutojua historia zao. Unaweza ukamhurumia kumwajiri then baadaye kitakachotokea ni majuto kwako.Dah mwenye ajira amsaidie kijana. Huwezi jua.
unatafutaje kazi bila kuweka mawasiliano yako,mnafeli wapi jamaniWakuu nahitaji mwenye kazi anisaidie!
Naishi Dar.
Malipo walau iwe 4,000 Au zaidi kwa siku.
Elimu nilifeli form 4.
weka mawasiliano yakoMkuu zikipatikani mbili hata mm nipo tayari kwasiku 3000√
kuna Kazi Zinahitaji Uvumilivu..Ukiwa Mla Urojo Lazima Ujiibie Nguo Zako Ukimbie.Nasikia ni noma na nusu ndio maana wakapaita Guatenum ,guatenum ni jera ya wamarekani walikuwa wanapelekwa wale magaidi
Mm kunamshikaji aliandika Uzi kama huu.nikasema ngoja nimcheki.ushirikiano unakuwa hafifu sana.fikiria unamwambia MTU tuma number yako tuwasiliane.anakwambia tutawasiliana kupitia bobo jf.unamwuliza unaishi wapi.anakujibu kwa mshikaji..kwa mshikaji ni wapi msasani.tunaonanaje sasa.yani anajibu short.tutachat bobo.sasa mpaka apo MTU unaingiwa na mashaka kama alivyosema mdau mmoja apo.unakuta unaanjri mtu historia yake huifaham.hii inakuwa sio sawa umeomba kupatiwa sehem ya kujishikiza anakuja MTU MPE details zako dhen unanza kuleta drams
InboxBobo ni wapi?