Nenda chuo, Div 1 boy..Naomba kazi yoyote tuu nina miaka 22
Nipo dar es salaam.
Naomba connection
Anaendaj unkut mkopo unasom tuition fee 0Nenda chuo, Div 1 boy..
Kwa pass zako naamini unakwenda chuo ambapo tayari vinafunguliwa Au hujapata chuo? Au umepangwa Dar hivyo unahitaji kufanya muda wa ziada? Ulisoma combination gani A- level?Naomba kazi yoyote tuu nina miaka 22
Nipo dar es salaam.
Naomba connection
Kwa pass zako naamini unakwenda chuo ambapo tayari vinafunguliwa
Au hujapata chuo? au umepangwa Dar hivyo unahitaji kufanya muda wa ziada? Ulisoma combination gani A- level?
Hukuomba mkopo?Nlisoma pcb nnachangamoto ya fee nimepata kairuki udaktari ada ni bei mno.. nataka nifanye chochote labda mwakani nitaendelea au nijaribu tena ku apply..
1 ya HKL ni sawa na division 3 ya scienceNaomba kazi yoyote tuu nina miaka 22
Nipo dar es salaam.
Naomba connection
Kama ulienda Jkt, jaribu kutuma maombi PCB nafasi ya assistant investigator ujaribu bahati yako.Nlisoma pcb nnachangamoto ya fee nimepata kairuki udaktari ada ni bei mno.. nataka nifanye chochote labda mwakani nitaendelea au nijaribu tena ku apply..
Dogo si hiz marks za chuo,na Jtatu tarehe 25.10.2021 ndiyo mlikuwa mnareport.kazi ipi sasa?Naomba kazi yoyote tuu nina miaka 22
Nipo dar es salaam.
Naomba connection
Kairuki ada kwa MD inafika million ngapi vile?Nlisoma pcb nnachangamoto ya fee nimepata kairuki udaktari ada ni bei mno.. nataka nifanye chochote labda mwakani nitaendelea au nijaribu tena ku apply..
Enzi zetu kozi zote za Pure science Kuanzia Udactari, Engineering nk huwa zinapata 100% sponsorship. Hii ni kwa kuwa zinalipiwa ghali na watu waliowengi hawawezi kuzilipiaNlisoma pcb nnachangamoto ya fee nimepata kairuki udaktari ada ni bei mno.. nataka nifanye chochote labda mwakani nitaendelea au nijaribu tena ku apply..
Kairuki hata ukipata 100% kama kwenu hamna mlungula huwez kusoma.. Serikali inalipa max 1.8M wakati kairuki Ada 4M+Enzi zetu kozi zote za Pure science Kuanzia Udactari, Engineering nk huwa zinapata 100% sponsorship. Hii ni kwa kuwa zinalipiwa ghali na watu waliowengi hawawezi kuzilipia
Au wamebadilisha siku hizi?
Changamoto hii tayari dahKairuki hata ukipata 100% kama kwenu hamna mlungula huwez kusoma.. Serikali inalipa max 1.8M wakati kairuki Ada 4M+
Wewe umejaribu kuappeal?Nlisoma pcb nnachangamoto ya fee nimepata kairuki udaktari ada ni bei mno.. nataka nifanye chochote labda mwakani nitaendelea au nijaribu tena ku apply..