Wadau naomba kama Kuna mtu Ana jaw crusher ya bei nzuri. Mashine ya kutengeneza kokoto nahitaji kama unayo au pengine unaweza kuniuzia au kukodisha nitashukuru
Habari kaka nashukuru kwa maelezo yako..
Kwa upande wangu na shauri ungeagiza direct kutoka alibaba Wanazo za kila aina na pia wapi maagent wa kitanzania ambao wapo China wanakusafirishia kwa njia ya salama bila ya shida yoyote,,
Laa kama unahisi itakuwa tabu na nzunguko nenda mnazi mmoja kwenye maduka ya vifaa vya kilimo yupo mdosi anazo itategemea na capacity unayo taka ila kipindi nilivyoulizia zipo za mil 4 na nyengine 7mil ila unaongea nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.