nahitaji IST

CPA

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
809
354
Nina swift la 2004, lipo kwenye hali nzuri anatumia wife. Nataka kubadilishana na mtu mwenye IST namwongezea na 1.5million. IST=Swift+1.5mil. Kwa Mawasiliano ani PM
 
Duh mkuu hapo itakuwa ngumu sana .suzuku ni 5m ya mkononi na ist 9mil ya mkononi .sasa hapo utafanya je ??bora uhuze hiyo swift
 
Angerahisisha kwa kuweka specs za hiyo SWIFT ili watu wajue thamani yake kwa sasa barabarani ikoje na soko la kitaa linasemaje kuhusu hiyo gari then from there ndo umsaidie hata kama kuna mtu ana IST ajue atahitaji top up kiasi gani hapo juu ya hiyo gari.
 
Nafikiri mkuu ungeuza hiyo suzuki swift and ukaongezea hela na kununua ist simple like that.kama utakuwa tayari .kuiuza hiyo swift.tuwasiliane
 
Nafikiri mkuu ungeuza hiyo suzuki swift and ukaongezea hela na kununua ist simple like that.kama utakuwa tayari .kuiuza hiyo swift.tuwasiliane

6.5 mil tsh. Ukilihitaji kuliona ni pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom