fika lile jengo la machinga complex kwa mbele fanya kama unarudi juu hv kama waelekea ilala bungoni kuna mtaa wa kwanza wa zizzou utauvuka mtaa wa pili wa pemba utavuka kuanzia mtaa wa tatu duka la kwanza limeandikwa Ngosha mitaa io izi grill huwez kosasio mbaya nielekezwe mkuu
nashkur sana mkuu .. ngoja nifuatilie kama ntapatafika lile jengo la machinga complex kwa mbele fanya kama unarudi juu hv kama waelekea ilala bungoni kuna mtaa wa kwanza wa zizzou utauvuka mtaa wa pili wa pemba utavuka kuanzia mtaa wa tatu duka la kwanza limeandikwa Ngosha mitaa io izi grill huwez kosa
Mrejesho? Uliuziwa shingapinashkur sana mkuu .. ngoja nifuatilie kama ntapata