Nahitaji hata za kichina

Konakali

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
1,533
263
Mwanamke wangu hupenda manyoya ya kifuani na tumboni, ilhali mimi sina....! Nifanyeje?
 
hahaha kumekucha kama huna atafanyaje ?
hebu akae ndani ajitulize na ajifunze ku -accept mambo uumbaji wa mungu
 
Mwanamke wangu hupenda manyoya ya kifuani na tumboni, ilhali mimi sina....! Nifanyeje?
mmmh ukiona hivyo ujue keshapata mtu mwenye manyoa au bwana wa kipemba nenda surrender bridge pale kuna jini manyoa litakupa bure mpaka ya kwenye ulimi
 
kaka mshukuru mungu kwa uumbaji,mkeo nae akukubali kama ulivyo kama ana mapenzi ya dhati,usijiumize kichwa kutafuta manyoya ya kichina yatakutokea puani
 
mkaribishe hapa ajipatie kile akipendacho sio siri vnyoya vya kifuani ni muhimu sana unaweza kuiita catalyst.
 
ha!ha!ha!haaaaaaaaaa raaha kweli kweli ebu nenda kaishi na masokwe porini kwa mwezi mmoja uenda zikaota..
sasa uyo mkeo mbona ana kero sasa?ataomba vp kitu ambacho huna nahakipatikan madukan?
uyo hana to faut na wale wanaosema..napenda urefuke kama john...eti mpz...?uyo anamaanisha ajaridhika na wewe na anayoyataka we huna..na ukichek kwa undan zaidi akupend labda ndo mana anatafuta kakitu kaduuuchu ambacho anajua hauwez ukakifixx
--km vp nenda salun ukabandike human hair fup fup zile labda ataona km ayo manyoya..!!!!!
manyoya yana raha yake bt nt too muuuuuch vile mtu anamanyoya mgongon tumbon.....haaaaaaa kero tena bt si issue saaaaaaaana as long as long as MENGINEYO yamo!!!!
..kuna rafik angu akimwona mkaka ana ndevu ndefu km zle beberu style bt zisiwe ndeeefu saana yan za kishkaji tu km za radio yule mwanamuziki wa uganda anataman aende akamwombe azishike...hahhhhaa sjui nivip mtu anapenda manyoya na anakosa raha akikosa...!!!!!!!!
 
ha!ha!ha!haaaaaaaaaa raaha kweli kweli ebu nenda kaishi na masokwe porini kwa mwezi mmoja uenda zikaota..
sasa uyo mkeo mbona ana kero sasa?ataomba vp kitu ambacho huna nahakipatikan madukan?
uyo hana to faut na wale wanaosema..napenda urefuke kama john...eti mpz...?uyo anamaanisha ajaridhika na wewe na anayoyataka we huna..na ukichek kwa undan zaidi akupend labda ndo mana anatafuta kakitu kaduuuchu ambacho anajua hauwez ukakifixx
--km vp nenda salun ukabandike human hair fup fup zile labda ataona km ayo manyoya..!!!!!
manyoya yana raha yake bt nt too muuuuuch vile mtu anamanyoya mgongon tumbon.....haaaaaaa kero tena bt si issue saaaaaaaana as long as long as MENGINEYO yamo!!!!
..kuna rafik angu akimwona mkaka ana ndevu ndefu km zle beberu style bt zisiwe ndeeefu saana yan za kishkaji tu km za radio yule mwanamuziki wa uganda anataman aende akamwombe azishike...hahhhhaa sjui nivip mtu anapenda manyoya na anakosa raha akikosa...!!!!!!!!

kwani we Rose hupendi hayo manyoya?
 
Nenda saluni yeyote ya kiume, okota mabaki ya nywele zilizo katwa kisha bandika kifuani kwako, kisha nenda kwa mkeo ATAFURAHI SANA.
NB:-
Hii mianamke tunayoiokota mitaani ina shida sana. Na wewe mdai sura kama ya Miriam Odemba.
Mwanamke wangu hupenda manyoya ya kifuani na tumboni, ilhali mimi sina....! Nifanyeje?
 
Mwambie sina
kama ana solution akuambie ufanye nini ili yaote
Pia mkeo nna wasiwasi na uwezo wake wa utambuzi. ina maana miaka yooote alikuwa hajagundua kuwa mzee ni kipara yaani huna vinyweleo? Shame shame.

Akizidi sana mwambie aje kwangu nimwonyeshe madhara ya kupapatikia manyoya
 
mwambie aridhike,ila manyoya yana raha yake.kama wanaume wengine wanapenda shanga,wakizichezea,wanapata mzuka fulani,na hato manyoya ni hivyo hivyo,mwanamke akichezea,anajisikia raha fulani.
 
bacha kakangu mi spend ,manyoya napenda ndevu fulan ivi ndefuu bdefu km beberu bt nt O au masharubu sjui mustach apanaaaaaa.. nataka za apo mbele tu zichomoze za kutosha kusuka konga moja au butu moja .......uwez jua zna kaz gan bt zna kazi kuubwa tu najua utaniuliza ip?stakwambia mpk ukue ..YESS MPAKA UKUE KDG..ssaaaaawaaaaaaaa?
we mbona unapenda mwanamke km baunsa na mimi sjawai kukuuliza y? ..hahahh habarrrrrrrr ndo iyo byeeeeee naenda pata uji mie karibu!!!!!!!
 
Nenda saluni yeyote ya kiume, okota mabaki ya nywele zilizo katwa kisha bandika kifuani kwako, kisha nenda kwa mkeo ATAFURAHI SANA.
NB:-
Hii mianamke tunayoiokota mitaani ina shida sana. Na wewe mdai sura kama ya Miriam Odemba.

daa umesema ukweli kabisaaaaaaaaaaaaaa au km vp amwambie anataka awe mweusi km paka afu tuone...utadai vp kitu kilicho nje ya uwezo?km si kutafutiana sababu uku ninin?km vp unajua misna bas nenda kwa vincent asi anayo?asi uliyaona?
iyo haina tofaut na kumwambia we kiwete ebu ruka ukuta u..ruka mfereji basi twende...ataweza wap?
demu wako ana miaka mingap mbona kakosa kutumia busara za form one a katika request zake?au alimaanisha kukutusi that ur nt real man cz hauna manyoya?km vp aende salender brdge atayapata aje akupunguzie kdg.....!!!!!anaboaaaaaaaa.
 
mwambie aridhike,ila manyoya yana raha yake.kama wanaume wengine wanapenda shanga,wakizichezea,wanapata mzuka fulani,na hato manyoya ni hivyo hivyo,mwanamke akichezea,anajisikia raha fulani.

je, wewe kisukari ukiwa unachezea hayo manyoya unapata mzuka???
 
bacha kakangu mi spend ,manyoya napenda ndevu fulan ivi ndefuu bdefu km beberu bt nt O au masharubu sjui mustach apanaaaaaa.. nataka za apo mbele tu zichomoze za kutosha kusuka konga moja au butu moja .......uwez jua zna kaz gan bt zna kazi kuubwa tu najua utaniuliza ip?stakwambia mpk ukue ..YESS MPAKA UKE KDG..ssaaaaawaaaaaaaa?
we mbona unapenda mwanamke km baunsa na mimi sjawai kukuuliza y? ..hahahh habarrrrrrrr ndo iyo byeeeeee naenda pata uji mie karibu!!!!!!!
wakurya kwa uji
 
wakurya kwa uji
hahahhhaaaaaa hahah dah funza umenchekesha mpz acha......do u thk m BHOKE?
mmh apana swahiba mi kitu kingne kutoka pande nyngine kabisa TAFAUTI na kwa chacha mwita kakhkaaa....!!!!
ok basi tufanye iv...niamba kulila likolo la nanyungu...!!!!!!!we mwana upilik?
aya sasa cheza na iyo....
 
Sikia yapo manyonya ya kuotesha kuna paka wengi wanazurula mitaani kamata kama watatu hivi wanyofoe manyoya yao chukua superglue na uyabandike mwilini.
 
hapana mimi mzuka wangu ni mapenzi ya dhati,hata awe na kibamia naridhika tu.Mwili unanisisimka wenyewe,bila ya kujali maumbile aliyokuwa nayo mtu.ila uwe mrefu,basi inatosha,kwani na mimi ni mrefu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom