Habari JFers
Natumai nyote muwazima.
Ninapatikana DAR ES SALAAM.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kununua Toyota GX 110 Grand iliyotumika kutoka kwa MMILIKI ( na si dalali). Bajeti yangu ni TZS 3,000,000 tu.
Sizingatii namba ya gari, nitakachozingatia ni GARI KUWA KATIKA HALI NZURI.
Nikiwa kama fundi mkongwe, nitahitaji mmiliki awe tayari kunipa nafasi ya kuikagua gari yake kabla ya mauziano.
Kwa mwenye nayo, anaweza ku-share picha nami kupitia WhatsApp No +255 719 518 367
AHSANTE