Nahitaji Girlfriend serious..

mpenda pombe

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
1,376
672
Natafuta girlfriend serious, mcheshi, mwenye hekima, anamjua Mungu.. Umri kuanzia miaka 20-26..
Nickname isiwatishe ni funny name..
Naishi Mikocheni A, elimu yangu ya Chuo..
Aliye tayari email yangu ni
tru3boy@mig33.com
 
kama unataka mke ni PM faster hata mie sitaki mchezo nataka mume anaye mjua mungu ahha nshachoka na vi BF .....
 
kama unataka mke ni PM faster hata mie sitaki mchezo nataka mume anaye mjua mungu ahha nshachoka na vi BF .....
Hapo kwenye blue, ni kwambayeye anataka mahusiano ya casual...girlfriend!, na sio mchumba!...right?
Hapo kwenye red, kwanini ujieleze hivyo?...hayo mtaweza kuongea mkiwa eneo la tukio kama itafaa!
 
Hapo kwenye blue, ni kwambayeye anataka mahusiano ya casual...girlfriend!, na sio mchumba!...right?
Hapo kwenye red, kwanini ujieleze hivyo?...hayo mtaweza kuongea mkiwa eneo la tukio kama itafaa!

paka mambo yana badilika bwana .....
 
hivi humu huwa wanapatikana? duh siku nukipigwa kibuti nitatoa tangazo langu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom