sisi ni ndugu
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 121
- 135
Nina Millioni 8, naweza pata gari gani?
Nina Millioni 8, naweza pata gari gani?
kwa fedha yako utapata gari nzuri, kuwa mtulivu sana!
unaweza pata, spacio new model, Raum, IST, i mean gari yoyote ndogo nzuri unaweza pata kwa fedha yako
Mkuu njoo inbox nikutaftie Gari nzuri.Nina Millioni 8, naweza pata gari gani?
Njoo PM mkuu kuna IST safi kabisa itakufaaNina Millioni 8, naweza pata gari gani?
Nina Millioni 8, naweza pata gari gani?
Ukijichanganya tu ukaenda PM umeumia. Mwenye gar na anaekubali ofa yako aweke hapa picha na details wakuu wakusaidie kuchek mambo mawili matatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anahitaji gari nzima na ya uhakika ndo maana ameenda straight kutaja ofa yake. Ameanzisha uzi maalum ili utumike kufanya hyo kazi ya kutafta na kupata gari.Kwa hiyo jukwaa ndo linafanya biashara au mnunuzi na muuzaji? Ninachojua watu wanapeana taarifa, wanaonana, mteja anakuja na fundi wake au expert anayemwamini, au hata zaidi ya mmoja. Wakiona mali na kukagua wanaamua kama hawajaridhika wanasepa, kama wameridhika they bargain price. Sasa mtu anaumiaje hapo? Anyway endeleeni kutishana tuu humu. Ila mambo ya kuanikana private information humu sifanyi. Watanunua walio serious. Good luck ni kwamba siuzi gari kwa sababu nina emergency, na wala siuzi kwa sababu ina hitilafu. Ninahitaji kuwekeza kwenye project nyingine, na kwa sababu ninaenda masomoni niliona gari isikae tu parked au kumwachia mtu alafu nikute iko juu ya mawe.
....then kuwa makini staili uliyokujanayo unaweza kulizwa...
Jamaa anahitaji gari nzima na ya uhakika ndo maana ameenda straight kutaja ofa yake. Ameanzisha uzi maalum ili utumike kufanya hyo kazi ya kutafta na kupata gari.
Kama gari ni yako, na haina tatizo na suala la kuiuza is ur legitimate decision, kwanini uone tabu kuweka picha hapa?! Biashara za black market hua zinapelekea mmojawapo kulizwa, hasa mnunuzi ndo tahadhari ninayompa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, we uzia ndani waache wenye guts za kupublish wamuuzie mkiu. Kwani tatizo liko wapi?Black market hujaipa maana na heshima yake stahiki. Unaitumia vibaya.
Kama unajua kuwa its my legitimatedecision kuuza au kutokuuza, pia its my legitimate decision kuipublish au la. Na pia its the legitimate decision ya mteja kununua au kuacha. Upo baba!!!
Tatizo JF huku kila mtu mjuaji sana. Mwaka jana kuna ndugu yangu (jina nalihifadhi), alipost hapa anauza kitu flani, alinunua alafu hakutumia kabisa baada ya kubadili aina ya project aliyotaka kufanya. Aisee watu wakakomalia kutaka picha, alivyoweka picha wakaja watu na posts za dharau za kupitiliza, nikamwambia achana nao. Weka mzigo ndani. Amini nakuambia, alipatikana mteja aliyenunua kwa bei ya juu, almost sawa na bei ya dukan kwa sababu mzigo wenyewe unajiuza ubora wake.
wakuu kuna mtu hapa seriously anakomaa nimtafutie gari kwa Tsh 3 Millions, is this possible?
Labda la tairi 3wakuu kuna mtu hapa seriously anakomaa nimtafutie gari kwa Tsh 3 Millions, is this possible?