arnjaam
Member
- Feb 23, 2019
- 53
- 28
Mimi n kijana mpambanaji hapa Mjini! Na ata kuna threads nyingine za nyuma mlishanishauri na sasa ni vyema tu mambo yanaenda vizuri namshukuru Mungu! Kwa uwepo wenu na mawazo yenu
ila mimi leo nlikua naomba mnisaidie pia make najuaa hii n community kubwa na inawatu wazito pia ndani yake!
Mimi bhana kipato change kwa mwezi nkiwa sifanyi chochote yan nimekaa tu ndani sio chini ya Laki Saba kwa mwezi! Make Nina Bajaji angu mpya kabisa iko barabaran bado mpya na kibiashara kingne kdg kipo ndo nikicombine bajaji Laki 6 na hako kengine ni Laki na Nusu kananipa kwa mwezi! So ndo inakuja hyo 750k kwa mwezi uhakika kabisa!
ila sasa nlikua nahitaji Gari dogo la kuanza Biashara ya Uber na Bolt make uzuri wangu mm Nina biashara nyingine so ata kama sijapata huko m natoa hela huku kwangu maisha yanaendelea!
Hivyo basi nlikua naomba kwa yeyote mwenye connect ya gari la kufanyia uber na bolt la mkataba anisaidie
Au kwa yeyt mwenye ushauri naomba anipe ushauri pia ili nipate kujionhezea kipato pia na kuchakarika!!
NTASHUKURU SANA KWA KWERI
ila mimi leo nlikua naomba mnisaidie pia make najuaa hii n community kubwa na inawatu wazito pia ndani yake!
Mimi bhana kipato change kwa mwezi nkiwa sifanyi chochote yan nimekaa tu ndani sio chini ya Laki Saba kwa mwezi! Make Nina Bajaji angu mpya kabisa iko barabaran bado mpya na kibiashara kingne kdg kipo ndo nikicombine bajaji Laki 6 na hako kengine ni Laki na Nusu kananipa kwa mwezi! So ndo inakuja hyo 750k kwa mwezi uhakika kabisa!
ila sasa nlikua nahitaji Gari dogo la kuanza Biashara ya Uber na Bolt make uzuri wangu mm Nina biashara nyingine so ata kama sijapata huko m natoa hela huku kwangu maisha yanaendelea!
Hivyo basi nlikua naomba kwa yeyote mwenye connect ya gari la kufanyia uber na bolt la mkataba anisaidie
Au kwa yeyt mwenye ushauri naomba anipe ushauri pia ili nipate kujionhezea kipato pia na kuchakarika!!
NTASHUKURU SANA KWA KWERI