Nahitaji fundi wa Umeme

Uswe

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,204
626
Nahitaji fundi wa kunifanyia wiring kwenye kanyumba kangu kapo salasala, kama wewe ni fundi wa umeme au kama unafahamu fundi mzuri wa umeme tafadhili niambie au niPM contanct zako/zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom