Heinrich Himmler
Member
- May 20, 2013
- 71
- 151
Wakubwa mliojenga nyumba shikamoni, nina kibanda changu kimeshapigwa plasta natafuta fundi wa kunipakia rangi, natambua wengi humu mmejenga naomba mnipatie namba ya fundi wa rangi. nitashukuru sana. Mahali nyumba ilipo ni dar es salaam ubungo.