Habari wakuu,
Nimejikusanya nataka nijiajiri kwa kufungua chuo cha ufundi mkoani Arusha, nahitaji eneo kwa ajili ya hii project, kuna mawili nipate eneo la kupanga bei iwe rafiki au mtu mwenye majengo yake tuingie ubia. Pia kama mtu ana ushauri wowote napokea.
Shukran
Nimejikusanya nataka nijiajiri kwa kufungua chuo cha ufundi mkoani Arusha, nahitaji eneo kwa ajili ya hii project, kuna mawili nipate eneo la kupanga bei iwe rafiki au mtu mwenye majengo yake tuingie ubia. Pia kama mtu ana ushauri wowote napokea.
Shukran