Ninadigital camera ya Olympus orange in color 7.1MP na nimeitumia mwenyewe tu tangu ninunue ikiwa mpya. Inakuja na box lake with accessories zote. Bei Tsh. 125,000Iwe kwenye hali nzuri. Ofa yangu 100,000. Aina ya Samsung dau litapanda kidogo. Ni PM kama unayo.