Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Wakuu,
Naomba mnisaidie kupata dada wa kazi kulea mtoto wa miaka miwili. Sifa awe na uzoefu wa kulea watoto wadogo na upendo na kumjali mtoto saa zote. Mkataba ni mpaka mtoto akifikisha miaka mitano kazi yake inakwisha. Ataishi kwangu na huduma zote za kibinadamu mbali na mshahara nitazigharamia mimi.
Naomba mwenye kumjua dada wa kazi mwenye sifa hizo ani PM.
Asanteni.
Naomba mnisaidie kupata dada wa kazi kulea mtoto wa miaka miwili. Sifa awe na uzoefu wa kulea watoto wadogo na upendo na kumjali mtoto saa zote. Mkataba ni mpaka mtoto akifikisha miaka mitano kazi yake inakwisha. Ataishi kwangu na huduma zote za kibinadamu mbali na mshahara nitazigharamia mimi.
Naomba mwenye kumjua dada wa kazi mwenye sifa hizo ani PM.
Asanteni.